Recent content by sadalla

  1. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, Leo ni siku ya kupunguza maumivu ya Jana kchapo Cha PSG vs Chelsea. MPE TANZANIA W mazina ana odd 3.9, ameipania mechi kupitia maelezo. Anacheza dhidi ya Ghana W (kibonde)
  2. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo kanji atakula pesa za Dunia nzima. PSG kawaaminisha wawekezaji katika vichapo alivyovitoa Kwa ma-giants Leo anaenda kudrow (sare). Amka mdau.
  3. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuanzia 1000 Hadi laki 2
  4. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu za kuacha betting

    Daa! Leo napumzika rasmi kubeti. Sababu ni hizi hapa. 1. Tangu nianze kubeti uwiano wangu wa kula na kuliwa ni 1:5. 2. Uhuni ni mwingi, timu zinajifungisha au hazifungi au hazifungani ( match fixing) refer Kwa tuhuma za Udinese. 3. Nimekuwa addicted. Nikikosa ela ya kustake na ya bando nakosa...
  5. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daa! Leo napumzika rasmi kubeti. Sababu ni hizi hapa. 1. Tangu nianze kubeti uwiano wangu wa kula na kuliwa ni 1:5. 2. Uhuni ni mwingi, timu zinajifungisha au hazifungi au hazifungani ( match fixing) refer Kwa tuhuma za Udinese. 3. Nimekuwa addicted. Nikikosa ela ya kustake na ya...
  6. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    DC, lion kufa au kudraw. Weka pesa.
  7. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pamoja ndugu yangu.
  8. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau, Siri ya ushindi Kwa sasa Kwa big match ni kucheza Kwa kuweka mbali uhalisia. Kwa mfano uhalisia Jana real Madrid ni WIN. waliompa arsenal waliula.
  9. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ya
  10. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mfano A vs B . Handicap 0:2 maana yake umempa timu B Goli 2. Hivyo kabla ya mchezo matokeo ni 0:2. Ukimpa A ashinde inabidi apate Goli 3 na timu B isipate Goli hata moja ambapo matokeo yatakuwa 3:2.
  11. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Umakini unahitajika Leo kumpa Barca, wakala wa betting company kibindoni akiwa na CHUMA 4. PSG Hana njaa, Hana mbambamba mpe bila wasi.
  12. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga SC 8-1 Stand United FC | CRDB Bank Federation Cup | KMC Stadium | 15.04.2025

    Kama mshindi wa mechi hii atakutana na simba, basi yanga atapigwa Leo. Tulishasema hatuchezi nae. Wazee wa uwekezaji, KULA CHUMA HIKO!!!
  13. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga SC 8-1 Stand United FC | CRDB Bank Federation Cup | KMC Stadium | 15.04.2025

    Mshindi wa hapa atacheza na nani semi final?
  14. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Umakini unahitajika Kwa timu kubwa za la Liga. Ni wadau wa kampuni za betting. Mfano Real Madrid log Yao ipo katika sportybet app.
  15. sadalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025

    Ukicheza na mwarabu Kila chance TATU hakikisha Moja au mbili ziwe Goli. Ukizikosa, unawaamsha na wanakuadhibu. Shida ya mnyama Leo ni kushindwa kuconvert chances kuwa magoli. Poleni ndugu zetu, ndio ukubwa huo.
Back
Top Bottom