MziziMkavu,
Habar yako mzizi mkavu,
Mimi nimeamka leo asubuhi sikio langu moja la kulia limeziba alafu sisikii vizur,saut mtu akiongea unakua na mitetemo na muhungurumo mzito kiasi kwamba sielewi nini mtu anasema, na saut inakua kali sana.
Naomba unisaidie nini Tatizo sielewi hata dawa ya...
Habar yako kaka, samahan kwa usumbufu mm ni msichana naitwa Sabrina,Naishi tz ila juz kat nimepata fursa ya biashara China, yan kuchukua madera tz kupeleka China kuuza ,shida yangu ni moja jinsi ya kupeleka mzigo China na changamoto zake zipoje,na je ktk pita pita zako ushawai ona biashara ya...
Mm Naomba unisaidie mkuu ,niliwahi kujaribu kuchukua lakin nilipo Fungua account niliweka na neno la siri mtandao unazingua nikaacha ,nilikaa kama mwez hiv nikarudia tena kuomba ,nikaambiwa namba yangu imeshatumika ivyo tayar nina account ivyo natakiwa niingie tu,sasa tatizo ni kwamba nimesahau...
Mm Naomba unisaidie mkuu ,niliwahi kujaribu kuchukua lakin nilipo Fungua account niliweka na neno la siri mtandao unazingua nikaacha ,nilikaa kama mwez hiv nikarudia tena kuomba ,nikaambiwa namba yangu imeshatumika ivyo tayar nina account ivyo natakiwa niingie tu,sasa tatizo ni kwamba nimesahau...
Unataka kuwasilisha biashara gani mkuu ,mm nimepata dil la kupeleka Nazi za kopo, madera na baibui za nyumba, lakin sijapata mwongozo vizur na sijapata mwenyej ,je ww upo Zambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.