Washabikie tu iko siku watakwambia ili upate hiyo hela yako ukubali watu wafanye ngono na mbwa uoe mwanamme na ndoa za waume kwa wake marufuku usipokubal hawakupi misaada ndo unajua yesu yu mlangon
Acha mahaba mzee wa mahaba hakushinda niuulize ivi kati ya waziri na katibu mkuu wa wizara nani anatekeleza majukum ya wizara, tumpe ushirikiano rais afanye kazi
Yeye hajapost kuhusu nani hajabeba kombe amezungumzia kufika kumi nasita bora kwa wakati mgumu na kuweka record ya kurotolewa hatua hiyo toka awe kocha sasa unakurupuka na agenda nyingine nenden mchape ze comed alhamis huko kocha kazi kuandika uwanjan hadi dk 89anaandika kila mechi mtoe mapovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.