Recent content by SABAKI

  1. S

    Angola warusha Satellite ya kwanza

    Unashangaa nini Angola kumiliki Satelite na Tz kutomiliki. Kipaumbele cha TZ si satelite kwa sasa. Kama ndege tu zimeleta kelele, vip kuhusu Satelite. Kila jambo na wakat wake
  2. S

    Angola warusha Satellite ya kwanza

    Nisiyeegemea upande wowote. Sasa Tanzania tumenunua ndege wengine wanalalamika. Leo unajiuliza kwanini Angola wameweza kurusha Satelite halaf TZ tumeshindwa. Swali, Je, gharama za kuunda Satelite ni sawa na za ndege? kama siyo, je, Tz ingenunua Satelite si watu wangeandamana kabisa coz...
Back
Top Bottom