Serekali (ccm) haina mpango wa kuwapunguzia wananchi ukali wa maisha,zaidi kuwaongezea mikodi makato na mapenalti ya kuchelewesha kodi. Chakufanya nikufunga mikanda coz,bajeti itaendelea kuongeza makali haya mpaka angalau 2015. So tufunge mikanda na kupeana moyo... Swali:Ukilala na njaa si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.