Recent content by s8plus

  1. s8plus

    Fursa ya masomo kozi ya Clinical Officer

    Ndugu changamkia fursa hii...Karibu katika chuo cha Mlandizi College of Health. Upate kujiunga na kozi ya utabibu Clinical Officer kwa ngazi ya Diploma. Dirisha la udahili la wizara ya afya limeshafunguliwa wahi kabla halijafungwa. Bofya hapa kujiunga na group letu la whatsapp kwa maulizo...
  2. s8plus

    NAFASI ZA MASOMO KIGOMA MJINI

    Karibu sana ndugu mawasiliano yapo hapo juu
  3. s8plus

    NAFASI ZA MASOMO KIGOMA MJINI

    Bado TUNAPOKEA MAOMBI KWA WALIOKOSA VYUO KWA KOZI YA LABORATORY ASSISTANCE KWA NGAZI YA CERTIFICATE [emoji95]HII NI KOZI YA MWAKA MMOJA NA ADA NI NAFUU SANA [emoji95]1,000,000 TU INALIPWA KWA AWAMU NNE [emoji95]UFAULU WA KIDATO CHA NNE WA ALAMA 'D' MBILI TU [emoji95]CHUO KIPO KIGOMA MJINI...
  4. s8plus

    Nafasi za Masomo Kigoma mjini

    Karibu ndugu, Tunatoa kozi ya Wizara ya Afya ambayo ni ya maabara kwa ngazi ya Certificate na Diploma na pia tunatoa Kozi ya VETA ya Laboratory Assistants kwa ngazi ya Certificate. Ila kwa sasa dirisha la kozi ya Wizara limefungwa imebakia hiyo ya VETA ambayo intake yake ni ya Januari
  5. s8plus

    Nafasi za Masomo Kigoma mjini

    Karibuni
  6. s8plus

    Unaweza kufanya Uwekezaji gani kwa Milioni 50-500 na wenye faida ya kueleweka?

    Mkuu tulikuwa na project nzuri sana ya kuanzisha chuo cha kozi za afya kwa ngazi ya Diploma.... Tuliipunguzia nguvu ya implementation kwa kukosa funds.... Kama upo serious njoo tuweze kufanya jambo
  7. s8plus

    INAUZWA External Hard drive 500GB

    Ipo ya 320GB nayo ni mpya yenyewe ntakupa kwa 50 mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. s8plus

    INAUZWA External Hard drive 500GB

    500GB External HDD inauzwa ipo Tabora mjini hapa Ipuli. Ni mpya kabisa imefunguliwa ili kuwekwa movies tu. Bei yake ni 75,000 tu. Mwenye uhitaji aliyeko Tabora anicheki kwa namba 0621448149
  9. s8plus

    Ajira za Afya TAMISEMI

    Wakuu habari za leo? Kwa anayefahamu zile ajira za afya tulizoomba mwezi uliopita hivi ni lini watatoa majibu?
  10. s8plus

    We provide Medical and Lab Equipment Repair

    Yes mkuu ni lazima kuwa na adherence to the ISO standards
  11. s8plus

    Maombi ya ajira za Afya za TAMISEMI

    Wakuu nimekwama nahitaji mwongozo kwa anayefahamu. Kwenye hizi ajira za TAMISEMI kuapply online hivi ukimaliza ku-upload taarifa zako na vyeti ndio ume-apply tayari? Mbona hakuna link ya kuapply?
  12. s8plus

    Wanaomba ajira TAMISEMI kwa mfumo wa ''OTEAS'' tukutane hapa

    Wakuu hivi ukimaliza ku-upload taarifa zako na vyeti ndio ume-apply tayari? Mbona hakuna link ya kuapply?
  13. s8plus

    We provide Medical and Lab Equipment Repair

    Karibu sana mkuu
Back
Top Bottom