Recent content by RWEJUNA JJ

  1. R

    Katibu wa Mbunge Selasini na Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Rombo ajiunga na CCM

    TAARIFA KWA UMMA. YAH: TAARIFA ZILIZOZAGAA KUWA KUNA KATIBU MWENEZI WA CHADEMA ROMBO AMBAYE INASEMEKANA PIA ALIKUWA KATIBU WA MBUNGE WA ROMBO JOSEPH R. SELASINI KAHAMIA CCM. Ofisi ya Mbunge wa Rombo inawaomba mpuuzie hizo taarifa maana hiyo ndiyo kazi ya maigizo anayoifanya Kinana na chama...
  2. R

    Katibu wa Mbunge Selasini na Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Rombo ajiunga na CCM

    Nadhani hadi sasa majibu unayo, unaposema uongo utaumbuka. Mimi ndiye katibu wa Mbunge wa Rombo sasa muulize huyo Katibu Feki anaifahamu ofisi ya mbunge wa Rombo ilipo?
  3. R

    Yah: Taarifa zilizozagaa kuwa kuna Katibu wa Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini kahamia CCM

    Ofisi ya Mbunge wa Rombo inawaomba mpuuzie hizo taarifa maana hiyo ndiyo kazi ya maigizo anayoifanya Kinana na chama chake kwenye maeneo mengi wanakopita. Kwanza Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Rombo haijawahi kuwa na Katibu huyo (John Tarimo) kama alivyojitambulisha, ofisi ya Mbunge iko imara...
  4. R

    Miaka mitano ya Romani Selasini Rombo, ni sifuri

    sawa najua upo jimboni,naomba useme ujinga niliouleta juzi kwenye sekretariet nikuumbue hapa hapa ujione ulivyo mnafiki na kibaya id yako nimeisha pewa hivyo jitathimini kijana. Kumbe unawivu anapotoa rambi rambi misibani? Naomba nikupe taarifa kuwa baada ya mbunge kutoa pesa za jimbo kwa...
  5. R

    Miaka mitano ya Romani Selasini Rombo, ni sifuri

    Tuashinda tena sijui unatumia nini kufikiria. Uongo hauna tija hapa, tujenge sio kubomoa. Leto,usongo,msinga,kwalakamu kahe mbomainayeme keni,mrere,katangara,mkuu mjini,maharo,makiidi,shimbi masho,mashami,mashariki na kati,nguduni na mahango huko kote wataka kusema chadema tulishindwa? Kama...
  6. R

    Miaka mitano ya Romani Selasini Rombo, ni sifuri

    SELASINI HAJAFANYA KITU? HACHENI KUTUMIKA VIBAYA. TUPENI UHALISIA WA MNACHOKISEMA. SELASINI NDANI YA MIAKA MITANO TEMBO WAMEONDOKA AMBAO WALISABABISHA WANANCHIKUSHINDWA KULIMA NA HATA KUVUNA WALICHOKIPANDA. NDANI YA MIAKA MITANO VISIMA VYA MAJI TAKRIBANI 12 VIMEJENGWA UKANDA WA CHINIAMBAKO...
  7. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    Nashukuru umejitambulisha, kwa heshima ya chama mengine siwezi kusema hapa nasubiri vikao halali. Mimi niko Kingachi leo wewe endelea kupiga domo. tukutane Jimboni.
  8. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    SIWEZI BISHANA NA WEWE MAANA SIJATUKANA MTU ANAYETUKANA NI WEWE. UNAZUNGUMZA HUSIYOYAJUA UMELISHWA MANENO NDO UNAYALETA HAPA ILI KUUAMINISHA UMMA UONGO WAKO. ME NAONA TUSUBIRI MUDA UFIKE NA TUONE KATI YANGU NA WEWE NANI MWANACHADEMA HALISI. SISI HATUFANYI KAZI MITANDAONI, TUNAFANYA KAZI JIMBONI...
  9. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    Tutashinda umetumwa na kundi la ben. Naomba nikwambie huyo meela unayesema amekuwa kiongozi wa vijana lakn hakuwahi kufanya kikao chochote na hii iliwafanya vijana kumwaga chini. Angalia lugha yako inaonesha ulivyo mtu wa majungu majungu tu, usifiche id yako kijana. Ben amechangia kampeni bila...
  10. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    Ben Kafanya kazi gani? au unataka nimwambie kuwa baada ya Ben kupata ajali alikuja Rombo wakati anajiandaa kwenda S.Africa kutibiwa alichokifanya ni kuita baadhi ya vijana kuwanunulia pombe asubuhi akakamatwa na polisi kwa kukiuka katazo la kunywa pombe saa za kazi, ili hali kwenye magroup ya...
  11. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    Nawashauri mnaoendekeza fitina kama ni mwanachadema, jitathimini kama unatimiza wajibu wako kikatiba na pia unasifa na maadili ya mwanachama kwa mujibu wa katiba ya chadema?. Tukutane jimboni.
  12. R

    Huyu ndiyo Joseph Selasini ambae alisemwa hapa vibaya na baadhi ya wana CHADEMA

    Acha uongo ndugu hiyo tathimini umeifanya wapi? Ndesamburo hajakanyaga jimbo la Rombo kufanya kampeni na wala kiongozi yoyote kutoka nje ya jimbo. Kampeni zote alifanya Selasini peke yake jimbo zima. acha kuudanganya umma. Hata hao wanaosema wamechangia ushindi ckumuona hata mmoja jukwaani...
  13. R

    Matokeo ya uchaguzi Rombo

    Viva ukombozi
  14. R

    Matokeo ya uchaguzi Rombo

    hakuna kulala, na hatuwezi kuridhika na hiki kidogo tulichokipata tunataka zaidi ya hiki, na nia ni moja kuwatetea wananchi wa rombo. Viva selasini.
  15. R

    Matokeo ya uchaguzi Rombo

    Tunawasubiri wale waliosema Selasini kaiua CHADEMA ROMBO. Tokea kwenye vijiji 2 na vitongoji 7 (2009). SELASINI AMEDHIHIRISHA YEYE SIO MBUNGE WA MTANDAONI NI MBUNGE ALIYEKO NA WAPIGA KURA WAKE, ALIFANYA KAMPENI PASIPO MSAADA WA NGUVU YOYOTE KUTOKA NJE YA JIMBO, NA WALE WA KWENYE MITANDAO...
Back
Top Bottom