Nimekuwa nikimsikiliza kijana Humphrey Polepole katika mijadala ya kisiasa inayoendelea kwa sasa.Kimsingi bwana mdogo haeleweki anasimamia nini.
Kwa wafuatiliaji kilichomfanya Polepole afahamike ni rasimu ya Warioba,leo ameitupa kabisa na katika hoja zake haoneshi uhusiano uliopo kati ya...
Chama kina wanachama milioni 7.5 lakini mgombea wake wa urais anapata kura milioni 5,Lumumba kweli mmechoka na mmeamua kuishi kwa propaganda za kitoto tu.
CCM kwa kuwadharirisha binadamu hamjambo.yaani mbaba mzima mnazungungusha kwenye mitandao uchi kwa lengo tu la kutaka kupotosha ukweli. Pole kagenzi uliyataka mwenyewe.CCM watakudharirisha sana na mwisho watakutupa tu.Muulize yule kijana Tesha wa tindikali Igunga leo walishasahau kama walimtumia...
Mi nimeongelea CCM CDM inaingiaje hapo? Hata hivyo unachosema kuhusu CDM yaweza kuwa propaganda za kisiasa,lakini kwa haya masuala ya ufisadi makada wa CCM wamethibitika kujiusisha sasa chama kichukue hatua vinginevyo tutajua kuwa ndio kinawatuma kufanya hayo kwa niaba ya chama chenyewe.
Ni mara nyingi sasa tumeshuudia bunge likijaribu kuchkua hatua dhidi watu wanaolisariti taifa kwa kushiriki kwenye vitendo vya ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma.
Hatua hizi zimeonekana kutokuungwa mkono kwa namna yoyote na chama cha mapinduzi.Hii ni kwa sababu watuhumiwa wote katika...
ikulu ilikuwa kwenye uchunguzi na imejiridhisha pasi na shaka kuwa ana hatia ndio maana wakamtimua.sasa tumbili anaingiaje hapo.kila mtu atavuna alichopanda.
Harakati za kijana mwenye uchu sana na madaraka zimeendelea kukumbwa na mapigo makubwa kutokana na ya chama chakeCHAMA CHA MAGAMBA.Pigo la kwanza nile alipopigwa stop ya kuzunguka mikoani kwa nembo yachama chao na Kinana,na la pili ni kutokumbukwa kupewa u-WAZIRI kamili na Kikwete.Kwa mapigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.