Wabongo hatuwezi kuendelea yaani mwenzako E FM amepanga event ya komaa concert Clouds nao wamepanga kumleta Rick Ross. Nakumbuka Lady Jay Dee alitangaza show Clouds waka andaa show na kumleta Mwana FA, haya mambo ya ajabu kweli
Nikirejea maana ya POVERTY-lack of afford the basic needs such as clothes, food and shelter.
Leo hii mishahara haijaongezwa,jee itawezekana mtumishi kununua nguo mpya yeye na watoto na mke?jee mili mitatu inaliwa kikamilifu,jee ataweza kulipa kodi kwa wakati?
Sio vizuri kusema umasikini...
Uki unganisha dots kipindi Diamond Platnumz alivyokuwa na bifu na marehemu Ruge Konki Master alikuwa anamtukana sana pia baada ya Harmonize kujitoa Wasafi Konki Master akawa anamtukana mnoo.
Konki Master akaanza kumtukana Joseph Kusaga ndipo Konki Master akatolewa Wasafi, sasa kumbe Diamond...
1. Leo nimepigiwa number ngeni nikapokea akajitambulisha mdada nikamkumbuka, alikuwa mpenzi wa marehemu kaka yangu walipotezana tokea 2013 kaka yangu alifariki 2016 kumbe kipindi wako kwenye mahusiano kaka aliandika number yangu kwenye diary ya huyo mpenzi wake sasa leo ananipigia na kuniuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.