Recent content by Rutaca

  1. R

    Nairobi Hospital: Hatujapokea fedha zozote kutoka Bunge la Tanzania

    Hospitali ya Nairobi alikolazwa Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha wanasheria nchini Tundu Lissu imesema haijapokea fedha zozote kutoka bunge la Tanzania hadi kufikia jana saa 10 jioni. Mkuu wa mahusiano ya umma wa KHA inayomiliki hospitali hiyo Bi.Catherine Njoroge ameiambia...
  2. R

    Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

    Siku zote hizo, hata hivyo barua yenyewe inawez kuwa fake, mbona haina sahihi wa muhuri wa office ya bunge? au ndo kukumbilia kujisafisha.
  3. R

    Zitto Kabwe: Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge

    Mh. Zitto umeshau mfano mmoja Ndugai aliposema ana uwezo wa kukuzuia kuongea, kuuliza swali wala chochote bungeni na usimfanye chochote na usiende popote, kitu kinachoonyesha alimaanisha aliidharau hata hiyo kamati ya maadili. kwamba yeye ndo anatoaga hukumu
  4. R

    Wanaohoji uzalendo wa Tundu Lissu inabidi wayajue haya...

    Tatizo lako nini kwani?
  5. R

    Peter Msigwa: Spika Ndugai ona aibu, gharama za ndege ya kumleta Lissu Nairobi imelipwa na CHADEMA

    Tumefika hapa!!!??? hakika nawambieni dhambi hii ya ubaguzi haitatuacha salama. hata kama hiyo hela ilitolewa na mb wa ccm mh Ndugai unaona hilo ni tatizo kweli? kwani wewe ni speaker wa ccm or wa bunge la jamuhuri? tunaipeleka wapi hii nchi? kutwa nzima speaker anashinda kujibu yaliyoandikwa na...
  6. R

    Wanaohoji uzalendo wa Tundu Lissu inabidi wayajue haya...

    Toa ushahidi sio porojo tu
  7. R

    Wanaohoji uzalendo wa Tundu Lissu inabidi wayajue haya...

    Ndugu zangu wana Forum wenzangu, nimekua nikifuatilia mijadala hapa kumuhusu mh Lissu hapa jukwaani, Inisikitisha sana tena sana mijadala ya vijana wetu. wengi wamediriki kuhoji uzalendo wake na kumwita msaliti wa Taifa. kinachosikitisha wenye hoja za kusema Lissu ni msaliti hawajawahi kuwa na...
  8. R

    Kutoka Bungeni: Juma Nkamia ataka uchaguzi wa Rais ufanyike kila baada ya miaka 7

    Rwanda wenyewe wamebadili katiba yao kutoka miaka 7 mpaka mitano kuanzia 2024. kwa mwendo huu Lissu atakumbukwa sana, ni yeye pekeee angeweza kukemea huu mpango hadharani bila kumung'unya maneno.
  9. R

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Maguful amuua Tundu Lissu
  10. R

    Manji sema usiposema...

    Umekurupuka chooni nini, haya we mwenye uharisia tueleze
  11. R

    Manji sema usiposema...

    UKWELI KUHUSU MANJI Itz known kwamba ana ugomvi wa muda mrefu na mkuu wa kaya, tangu mkuu wa kaya akiwa waziri wa ujenzi. Ugomvi wao haukua solved hadi jamaa alipotangaza kugombea Urais ndani ya CCM ambapo Manji alimwambia anapoteza muda hawezi kupita. Hata alipopitishwa Manji aligoma...
  12. R

    SIO Siri Tena ..Lipumba Anahusika na Uvamizi wa Mkutano wa Maalim Seif..Magari Yaliyotumika Kuvamia

    Sasa si siri tena,kuwa wale waliovamia mkutano wa CUF-Maalim pale Vinna Hotel Mabibo,ni wafuasi wa Profesa Lipumba na zoezi zima liliongozwa na Kambaya toka ofisi za chama Buguruni. Walioshiriki zoezi hilo,wengi ni wale waliohusika "kuuvuruga" mkutano wa CUF pale Ubungo Plaza wakati Prof Haruna...
  13. R

    Kwanini watu wanapotea na kutekwa na Jeshi la Polisi lipo kimya?

    Ndugu great thinkers Nimeona nitumie fursa hii kutoa mawazo yangu na mimi leo, ukiangalia mambo yanayoendelea katika nchi yetu kila mmoja mpenda amani na mwenye mapenzi mema na nchi yake bila kujali itikadi ya chama,dini rika, nk. wengi wetu ukiondoa wazee wetu tumeikuta nchi hii ikiwa mahali...
  14. R

    Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

    Umenena vema.
Back
Top Bottom