poleni sana polis wetu japokuwa mnapenda kutumiawa vibaya na wenyemamlaka lakini poleni sana tena sana kwa nyinyi mliobaki inatakiwa mjifunze kukaa vizuli na laiya mitaani manaa hata hawa wenzenu waliopoteza maisha wazikwa na laiya wema warioko mitaani mimi nawasii kuka vema na laiya mitaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.