Vipi kuhusu mradi wa Kikombo, na wenyewe una Changamoto hii? Maana nilikuwa nilipie leo mahomanyika wazo likaja kufuatilia huku JF, tafadhali nisaidie kujibu
Nyumba gani hiyo unayoweza kununua kiwanja na kujenga kwa milioni 100 tu, afu ikupe return ya 15m kwa mwaka, yaani sawa na almost 1.2M kwa mwezi, eti wajuzi wa mambo, nyumba ya 100m (Kiwanja na Ujenzi) inaweza leta kodi ya 1.2m kwa mwezi?
hahaaaa....umenifurahisha mkuu, mimi pia namuelewa afu anafika mbele ananichanganya, ila kitu cha msingi nilichoolewa ni kuwa huu uwekezaji kwa treasury bills and bonds ni jambo zuri, lina faida... hii ndo point ya msingi niliyoipata, lakini pia nimeelewa kuwa unaweza kukopa kupitia viapnde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.