Pole sana mkuu,hao ni wadudu wanaitwa MEALBUGS tumia viuadudu kati ya DuduAll au dudumectin au spidex au bamic..Rudia kila baada ya siku saba hadi waishe shmbani.
Mita yangu imeungua ni wiki ya pili sasa,baada ya kutoa taarifa mafundi walifika na kubaini mita imeungua,wakasema itabadilishwa nyingine wiki mbili zimekata sasa siwaoni tena,kwani inachukua mda gani kubadilishiwa mita iliyoharibika? mana tupo watatu wenye shida kama hiyo...nipo tanga mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.