Watenda kazi walewale labda kama unataka kubadiri jina na jengo. Labda Hoja ya msingi ungesema labda sheria flani na flani ibadrishwe ili kuboresha utendaji wake. Sasa sijui ndugu yangu nini kilifanyika hiyo nchi kiasi kwamba ikatuzidi akili.
Kati ya uhuru ambao umepitiliza ni namna mitandao inavoriport masuala ya shughuri za police wakiwa kazini, jamani hivi vyombo vya ulinzi wanafanya kazi katika mazingira magumu saaana, nchi hisipokuwa makini tunaweza kuwa na Trespassers wengi na tujue uharifu mwingi sana unaanzaga na connections...
Nafikiri zitto ni mwanasiasa anaheshimika sana, ameshikiria usukani nyuma yake wakiwepo wanachama na wasiowanachama wake wanaomfuatria kwa ukaribu. Hili tusipoteze imani kwake "Kama kweli ni Mwenyewe binafai alipost" aje adharani atoe taarifa ya Kukanusha kwa maana either atwambia yeye ana...
Zitto naamini siku zote ni mwanasiasa makini, sipendi nijadiri sana kwa sabbu sijui nini chanzo hadi ukatoa taarifa hiyo, ila kimtizamo badiri gia ya gari lako maana unaswaga tu kila kinachokuja mbele yako, ikiwezekana ata njia badiri tu maana kuna siku utaambiwa gari lako limeibwa utakimbilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.