Recent content by Rugaiyulula

  1. R

    Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

    Sheikh Malizia na sababu ili tujadili kwa ufasaha
  2. R

    Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

    Binafsi natamani IGP mpya awe Suzan Kaganda maana ana uwezo na uthubutu wa kukemea maovu hata ndani ya Police bila kujali mambo ya jinsia pia ni msomi na muumini wa utawala bora sheria. Mama Samia tupia jicho lako kwenye faili yake please.
  3. R

    Serikali yamwekea pingamizi Mbowe kesi aliyofungua dhidi ya DPP, AG na IGP

    Yes kulingana na kutokuelimika kwako na kujua vema ulimwengu wa sasa ulivyo.
  4. R

    Serikali yamwekea pingamizi Mbowe kesi aliyofungua dhidi ya DPP, AG na IGP

    Kesho yako is around the corner. Umeishasahau kada mtiifu HAMZA???????????????????????????????? Consult the Big Man Sabaya and others.
  5. R

    Serikali yamwekea pingamizi Mbowe kesi aliyofungua dhidi ya DPP, AG na IGP

    Ukifungua kezi za kubambikiza ambazo hata Rais anajua wanafanya na amewaonya kwa ujinga huo, lazima zipingwe mahakamani. Labda kama ndiyo sera yako na chama chako husika!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  6. R

    Serikali yamwekea pingamizi Mbowe kesi aliyofungua dhidi ya DPP, AG na IGP

    Wenye shida ni wale wanaopinga kushitakiwa kwa kukamata watu na kuwaweka ndani bila kufuata sheria za nchi yaani waweka pingamizi aka serikali.
  7. R

    Rais Samia Suluhu tumia madaraka yako mwachie huru Mbowe

    Inawezek Inawezekana kabisa kwa kufutiwa mashitaka na ofisi ya DPP ambaye ni mteule wa Rais.
  8. R

    Aibu: Watuhumiwa watatu kesi ya Mbowe wadai kuteswa na Polisi ili wakubali kuandika maelezo ya uongo

    Thank God you have never ever under police custody particularly when you face political oriented criminal charges
  9. R

    Aibu: Watuhumiwa watatu kesi ya Mbowe wadai kuteswa na Polisi ili wakubali kuandika maelezo ya uongo

    Kisheria ni sawa ikiwa maelezo yao yalichukuliwa polisi bila hiari yao au bila kuwa na mwanasheria wao hayawezi kukubaliwa mahakamani
  10. R

    KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

    Very interesting story yaani shs 600,00.00 (Laki sita tuu) za TZ ndizo zinawezesha ugaidi!!!!!!!!!!!!!! Only in TZ :oops::oops::oops::oops:
  11. R

    Urithi wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

    sawa kabisa ila kumbuka kuwa mtu awaye yote akifa husifiwa pia hata kama alikuwa na uovu wa wazi wazi kabisa. Ni hulka njema ya kibinadamu. Maiti haidhiwakiwi ni mwiko.
  12. R

    IGP Sirro ni mjanja, nafikiri kesi ya Sabaya unaleta matokeo chanya kwa wenye Mamlaka

    Hakika haina maana nimeishachanjwa na nimeweka chuma pale sijaona lolote lihusulo magetism characteristics.
  13. R

    IGP Sirro ni mjanja, nafikiri kesi ya Sabaya unaleta matokeo chanya kwa wenye Mamlaka

    Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
  14. R

    Daniel Chongolo: Tume huru ya Uchaguzi haileti chakula

    Elimu Elimu Elimu X 10000000000000000000
  15. R

    Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

    Bwana na Hon. Polepole elimu yako isikutoroke ukiiona kwa macho yako. Kutuhumiwa kwa ugaidi siyo kwamba wewe ni gaidi. Tuhuma siyo hukumu!!!!!!!!!!! Wangapi mliwaonea enzi zako na mwendazake leo hii wameachiwa kwa kesi zao kufutwa baada ya kuona hazina mashiko. Polepole enzi na nyakati zako...
Back
Top Bottom