Binafsi natamani IGP mpya awe Suzan Kaganda maana ana uwezo na uthubutu wa kukemea maovu hata ndani ya Police bila kujali mambo ya jinsia pia ni msomi na muumini wa utawala bora sheria.
Mama Samia tupia jicho lako kwenye faili yake please.
Ukifungua kezi za kubambikiza ambazo hata Rais anajua wanafanya na amewaonya kwa ujinga huo, lazima zipingwe mahakamani. Labda kama ndiyo sera yako na chama chako husika!!!!!!!!!!!!!!!!!!
sawa kabisa ila kumbuka kuwa mtu awaye yote akifa husifiwa pia hata kama alikuwa na uovu wa wazi wazi kabisa. Ni hulka njema ya kibinadamu. Maiti haidhiwakiwi ni mwiko.
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Bwana na Hon. Polepole elimu yako isikutoroke ukiiona kwa macho yako.
Kutuhumiwa kwa ugaidi siyo kwamba wewe ni gaidi. Tuhuma siyo hukumu!!!!!!!!!!!
Wangapi mliwaonea enzi zako na mwendazake leo hii wameachiwa kwa kesi zao kufutwa baada ya kuona hazina mashiko.
Polepole enzi na nyakati zako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.