Anaogopa ya Sabaya. Amejifunza Sponsor hufaHiyo ni kwa mamlaka ndogo ndogo lakini mamlaka toka juu kauli yake ya mdomo tu ni sheria bwashee!
Anaogopa ya Sabaya. Amejifunza Sponsor hufaHiyo ni kwa mamlaka ndogo ndogo lakini mamlaka toka juu kauli yake ya mdomo tu ni sheria bwashee!
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.Herehoa!
Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Kamanda naye hataki chanjo?Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Hakuna kitu hapo kwanza huyo IGP wenu kajidhalilisdha sana , wengine wakipewa tu matamko hata ya kwenye facebook wanawakamata usiku wa manane kwa kuvunja milango ya hoteli, wengine mpaka barua za maelekezo yaani katika vilaza wanaojitia aibu nchi hii ni huyo sirro, he is inept
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Sio kwa Rais! Unafikiri ilo agizo angelitoa Mh Rais lisingetekelezwa mpaka sasa?Herehoa!
Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Sio kwa Rais! Unafikiri ilo agizo angelitoa Mh Rais lisingetekelezwa mpaka sasa?
Hivi wale kumbe ni ndugu na wanajuana?Ama kweli nimeamini siasa ni mchezo mchafuMzee Siro anajua ugomvi wa mtu na shemela wake usiingilie..
Kamanda Siro ana akili sana
Hakuna Sirro hamna kitu . Angeambiwa akawakamate Cdm angesubiri barua ?! . Anakuwa hivyo kwa sababu kaambiwa akamkamate mbunge wa CcmHerehoa!
Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Hapana mkuu wanacheza na nyakati.Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Hakika haina maana nimeishachanjwa na nimeweka chuma pale sijaona lolote lihusulo magetism characteristics.Ruga unahasira za kuchanjwa nini? Tuambie chanjo inayo magnetic properties au hapana?
Hivi wale kumbe ni ndugu na wanajuana?Ama kweli nimeamini siasa ni mchezo mchafu
Na ule usemi amri ahadi na maelekezo ya rais ni sawa sheria inakuaje kwa maelezo yako. Na je rais akielekeza kufanyika kazi maalum kwa mtemzi wake ni lazima kwa maandishi?Herehoa!
Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Kukosea ni jambo baya, kukosea nje ya utaratibu ni jambo la hovyo kabisaHerehoa!
Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Katika maelezo ya Sebaya, alisema kuwa mambo aliyokuwa anayafanya alikuwa akiagizwa na wakubwa wake. Hata hivyo utaratibu wa kazi za Serikalini unafahamika kuwa kazi yoyote ya kiofisi inapaswa iende Kwa maandishi.
Sasa Sebaya anakazi mbili, mosi kuthibitisha kuwa alikuwa akiagizwa na wakubwa wake, na pili, kujitetetea yeye Kama yeye mbali na HAO wakubwa waliomtuma.
IGP Siro baada ya kupokea Oda kutoka Kwa Waziri Gwajima kuwa wamtie nguvuni Askofu Gwajima ili ajibu na athibitishe madai yake. IGP Siro ameuona mtego huo, ndio maana akasema anasubiri Barua Rasmi itakayotoa maelekezo ya kumkamata huyo mtuhumiwa.
Hata hivyo maelezo ya IGP Siro sio tuu anahitaji Barua lakini ndani ya hiyo barua iwe na maelezo yanayojiyosheleza ya kumkamata Askofu Gwajima.
Hii inatuambia nini?
Hii inatoa funzo Kwa watu wengine kuwa, Mkubwa akikutuma hasa ishu za kikazi ni vizuri utaratibu ufuatwe, mambo ya kufanya kazi kienyeji huko mbeleni likitokea lakutokea unashangaa jumba bovu linakuangukia wewe pekeako.
Wanaosema, kuwa kwa nini IGP Siro Raundi hii kwenye sakata la Gwajima na Shemeji yake ndio kataka Barua Rasmi, na sio baadhi ya vipindi vilivyopita hasa kuwakamata wapinzani. Jibu kinaweza kuwa, kila siku watu wanajifunza. Kuna kujifunza Kwa njia rahisi na kujifunza Kwa njia ngumu.
Kuna kujifunza wewe mwenyewe na kujifunza kupitia wengine.
Wito: kila Mmoja afuate taratibu za kazi yake. Haki, upendo na sheria zifuatwe.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro
Ok nani aliyeamuru wananchi waliokuwa kanisani Kawekamo Mwanza wavamiwe na polisi na kukamatwa?Mbona alishaharibu sana siku zilizopita, kama ameshtuka leo basi amechelewa, Sirro akili humrudia akifanya kazi za CCM, lakini akitumwa kukamata upinzani hasa CHADEMA akili zake hufyatuka kabisa.
amekosea kama wale waloandika SayabaUmeandika makusudi Sebaya badala ya Sabaya au umekosea tu kwa bahati mbaya
Watu wa chadema wanakuaga na Raha sana utazan wao ndo wanaoongoza nchi.Ok nani aliyeamuru wananchi waliokuwa kanisani Kawekamo Mwanza wavamiwe na polisi na kukamatwa?
Ni kiongozi gani wa kanisa aliwasiliana na kanisa la katoliki kwamba kulikuwa na vurugu kanisani hivyo vyombo vya usalama vilihitajika kwa haraka sana kuja kudhibiti wafanya fujo?
Kuna barua yoyote iliyotolewa kwa jeshi la polisi kwenda kukamata waumini kanisani huko Kawekamo Mwanza?
Kuongoza kuna hati miliki kwa baadhi ya watu na wengine hapana? Wanafurahi ndani ya nchi yao. Kumshinda audui ni kumwonesha kwamba pamoja na maudhi yote anayokufanyia akitarajia utakasirika na kukata tamaa lakini akaona unaendelea kudenda na maisha ni ushahidi wa kudharau lakini kufurahia matendo yenu na harakati zenuWatu wa chadema wanakuaga na Raha sana utazan wao ndo wanaoongoza nchi. View attachment 1898418