IGP Sirro ni mjanja, nafikiri kesi ya Sabaya unaleta matokeo chanya kwa wenye Mamlaka

Herehoa!

Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
 
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Kamanda naye hataki chanjo?
 
Hakuna kitu hapo kwanza huyo IGP wenu kajidhalilisdha sana , wengine wakipewa tu matamko hata ya kwenye facebook wanawakamata usiku wa manane kwa kuvunja milango ya hoteli, wengine mpaka barua za maelekezo yaani katika vilaza wanaojitia aibu nchi hii ni huyo sirro, he is inept
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
 
Herehoa!

Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Sio kwa Rais! Unafikiri ilo agizo angelitoa Mh Rais lisingetekelezwa mpaka sasa?
 
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.

Ruga unahasira za kuchanjwa nini? Tuambie chanjo inayo magnetic properties au hapana?
 
Sio kwa Rais! Unafikiri ilo agizo angelitoa Mh Rais lisingetekelezwa mpaka sasa?

Baada ya yaliomtokea Sabayosi litatekelezwa lakini kwa tahadhari kubwa na kwa shingo upande. Na hii itakuwa hivyo hata wakati wa chaguzi zetu muda utaongea.
 
Herehoa!

Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Hakuna Sirro hamna kitu . Angeambiwa akawakamate Cdm angesubiri barua ?! . Anakuwa hivyo kwa sababu kaambiwa akamkamate mbunge wa Ccm
 
Kimtazamo kuna tatizo mahala fulani maana tumeshuhudia mawaziri wengi tu wakitoa amri hadharani na watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila kusubiri kupewa barua za maelekezo rasmi. Nahisi Kamanda ana jambo lake, tusubiri muda utaongea.
Hapana mkuu wanacheza na nyakati.
Huyu Rais wa sasa ukifanya maovu hawezi kutetea ujinga,ni mtu wa imani na pia anapenda demokrasia.
Kwa hiyo ukiyakanyaga hilo ni lako mzee baba
 
Binafsi mm nampongeza Sana kamanda Siro. Ametumia hekima Sana. Mambo ya kuruhusu Jeshi lake litumike Kama roboti si mazuri. Ila Kama chanjo ingetenegezwa Tanzania arafu Gwajima akaipinga apo kidogo ni shida.

Hivi kweli siku alizotoa Raisi Samia kwa wataalam wamshauri, wik 3 tu zilitosha kufanya research ya janjo???

Sasa chanjo imeletwa apa tz ata wazir Gwajima hakuwepo kwenye kuitengeneza . So ni suala la kupingana kwa hoja.

Tunafaham kabisa mwanasayansi Hana maneno mengi Zaid sasa huyu wazir Gwajima Jana haikuitendea hakin fani yake.

Alitakiwa amjibu Mchungaji kwa proof na badae ndo aagize kukamatwa. Badala yake anamjibu kimipasho, mala kufufua Amina Chifupa, mala mkono wa baunsa, mala mbunge n.k.

Yaan hiz ni hoja zetu wengine wa mtaani, yeye mwanasayansi hakupaswa kufanya hivi. Na sasa kwa kusema hivyo ndo kwanza Mchungaji anatafuta fimbo nyingine zaidi.
 
Angekuwa amepewa amri na jiwe unadhani angeongea suala la barua ambacho angefanya angemfuata jiwe kama kuna nyongeza ya kumshughulikia mhusika
 
Herehoa!

Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.
Na ule usemi amri ahadi na maelekezo ya rais ni sawa sheria inakuaje kwa maelezo yako. Na je rais akielekeza kufanyika kazi maalum kwa mtemzi wake ni lazima kwa maandishi?
 
Herehoa!

Kesi inayomkabili Sebaya vyovyote itakavyoisha, iwe Kwa kushinda Kwake au kushindwa kwake lakini imetoa funzo kubwa Kwa wenye mamlaka hasa Wale wanaopewa Amri na kuifuata.

Katika maelezo ya Sebaya, alisema kuwa mambo aliyokuwa anayafanya alikuwa akiagizwa na wakubwa wake. Hata hivyo utaratibu wa kazi za Serikalini unafahamika kuwa kazi yoyote ya kiofisi inapaswa iende Kwa maandishi.
Sasa Sebaya anakazi mbili, mosi kuthibitisha kuwa alikuwa akiagizwa na wakubwa wake, na pili, kujitetetea yeye Kama yeye mbali na HAO wakubwa waliomtuma.

IGP Siro baada ya kupokea Oda kutoka Kwa Waziri Gwajima kuwa wamtie nguvuni Askofu Gwajima ili ajibu na athibitishe madai yake. IGP Siro ameuona mtego huo, ndio maana akasema anasubiri Barua Rasmi itakayotoa maelekezo ya kumkamata huyo mtuhumiwa.

Hata hivyo maelezo ya IGP Siro sio tuu anahitaji Barua lakini ndani ya hiyo barua iwe na maelezo yanayojiyosheleza ya kumkamata Askofu Gwajima.

Hii inatuambia nini?
Hii inatoa funzo Kwa watu wengine kuwa, Mkubwa akikutuma hasa ishu za kikazi ni vizuri utaratibu ufuatwe, mambo ya kufanya kazi kienyeji huko mbeleni likitokea lakutokea unashangaa jumba bovu linakuangukia wewe pekeako.

Wanaosema, kuwa kwa nini IGP Siro Raundi hii kwenye sakata la Gwajima na Shemeji yake ndio kataka Barua Rasmi, na sio baadhi ya vipindi vilivyopita hasa kuwakamata wapinzani. Jibu kinaweza kuwa, kila siku watu wanajifunza. Kuna kujifunza Kwa njia rahisi na kujifunza Kwa njia ngumu.
Kuna kujifunza wewe mwenyewe na kujifunza kupitia wengine.

Wito: kila Mmoja afuate taratibu za kazi yake. Haki, upendo na sheria zifuatwe.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro
Kukosea ni jambo baya, kukosea nje ya utaratibu ni jambo la hovyo kabisa
 
Mbona alishaharibu sana siku zilizopita, kama ameshtuka leo basi amechelewa, Sirro akili humrudia akifanya kazi za CCM, lakini akitumwa kukamata upinzani hasa CHADEMA akili zake hufyatuka kabisa.
Ok nani aliyeamuru wananchi waliokuwa kanisani Kawekamo Mwanza wavamiwe na polisi na kukamatwa?

Ni kiongozi gani wa kanisa aliwasiliana na kanisa la katoliki kwamba kulikuwa na vurugu kanisani hivyo vyombo vya usalama vilihitajika kwa haraka sana kuja kudhibiti wafanya fujo?

Kuna barua yoyote iliyotolewa kwa jeshi la polisi kwenda kukamata waumini kanisani huko Kawekamo Mwanza?
 
Ok nani aliyeamuru wananchi waliokuwa kanisani Kawekamo Mwanza wavamiwe na polisi na kukamatwa?

Ni kiongozi gani wa kanisa aliwasiliana na kanisa la katoliki kwamba kulikuwa na vurugu kanisani hivyo vyombo vya usalama vilihitajika kwa haraka sana kuja kudhibiti wafanya fujo?

Kuna barua yoyote iliyotolewa kwa jeshi la polisi kwenda kukamata waumini kanisani huko Kawekamo Mwanza?
Watu wa chadema wanakuaga na Raha sana utazan wao ndo wanaoongoza nchi.
 
Watu wa chadema wanakuaga na Raha sana utazan wao ndo wanaoongoza nchi. View attachment 1898418
Kuongoza kuna hati miliki kwa baadhi ya watu na wengine hapana? Wanafurahi ndani ya nchi yao. Kumshinda audui ni kumwonesha kwamba pamoja na maudhi yote anayokufanyia akitarajia utakasirika na kukata tamaa lakini akaona unaendelea kudenda na maisha ni ushahidi wa kudharau lakini kufurahia matendo yenu na harakati zenu
 
Back
Top Bottom