Yawezekana ni ukweli wanabaniwa wazidi kuchangia mfuko wa elimu unajuaa kibongo bongo badget haitoshi kila mwaka, lakini cha kuwashauli hao reseater waendelee kukaza buti huku wakiamini balaza litabana na mwisho wataachia.. kwani kama ipo, ipo tu haina mashindano....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.