Nimejulishwa mh. Rais SAMIA SULUHU atakuwa na ziara mkoa wa Mwanza kuanzia kesho . Nakuomba Mungu nikipata chance ya kuwepo na nafasi ya kumuuliza hili huyu kiongozi nikamuuliza.
Maana kwa nini mpaka leo hii malipo haya ya likizo za watumishi bado kulipwa?? Toka june 2023 mpka leo Januari 2024...
Ndugu zangu,
Kumekuwa na ucheleweshaji wa malipo ya pesa za nauli ya likizo za watumishi wa umma kwa jiji la Mwanza. Kwani malipo huchukua hata miaka baada ya mtumishi kuomba pesa hio ya likizo.
Kwa mfano katika jiji hili la Mwanza watumishi hususan walimu waliomba likizo kwa mwaka jana mwezi...
Hbr za asbh ndg zangu wanaJF,
Naomba kuingia kwenye mada moja kwa moja kuhusu hili suala la vituo maalum mkoa wa Mwanza hususan mwanza jiji.
Ndg wanaJF vituo hivi vya elimu maalumu kwa Mwanza jiji limekuwa ni vituo haswa vya walimu wakuu.
Ikumbukwe kuwa kila mwezi Serikali hutuma pesa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.