Huoni hapo TAKUKURU waliona tuhuma hazina ushahidi wa kutosha kumtia hatiani. Maana polisi wala TAKUKURU hawakumfungulia mashtaka, wewe unawezaje kulishika jambo hilo kuwa ni la kweli. Acheni kushika uzushi unaokusudia kumchafua mtu. Uzuri uongo haujawahi kuushinda ukweli, huwa ni suala la muda tu.
Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza...
Sikubaliani na kuondolewa wapinzani bungeni, ila pia sikubaliani hata kidogo kusema marekani ni rafiki zetu wa kweli. Hawanaga rafiki wa kweli wa kudumu wana agenda zao za kudumu kwa ajili ya nchi yao
Kubomolewa kwa jengo lenu kumesababishwa na ninyi wenyewe hasa pale mlipofanya UDOM ni ardhi ya waislamu wanaweza kufanyanya chochote bila hata kumshirikisha mtu yeyote. Na mazoea hayo yalichagizwa na utawala mzima wa selikali ya awamu ya nne iliyowapanga waislamu hapo UDOM kiasi wakajifanyia ni...
Uzuri anajua kuwa siku akitua terminal two dsm anaelekea segerea akaungane na mazwazwa wenzie. Hatutaki ujinga. Kwa lugha yake chafu tayari ni mtuhumiwa. Aje tu tumsweke lupango. Natamani angefanya kosa moja la uhaini akae segerea pasi na dhamana. Akae ndani indefinitely kama mashee wa uamsho.
Watanzania hatuhitaji Demokrasia. Hata hivyo Demokrasia ipo kwa nani nchi hii? Viongozi woooote wa upinzania ni wachumia tumbo tu. Muone Mbowe, Zitto wotewezi tu. Maalim ndio kabisaaa na profesor wake wote majambazi wanatakiwa kuwa segerea.
1. Watoto wake wamepata elimu bila malipo
2. Anapata dawa hospitalini bila mikwamo
3. Makazi yake yasiyo rasmi yanarasimishwa
4. Anauza korosho kwa bei ya juu
Hata marekani wanakusanya nyingi sana lakini wana madeni makubwa tu. Kukopa serikalini ni jambo la kawaida sana. kubwa ni nini unafanyia hiyo mikopo. Kama kazi tunaiona, kopa tu baba, tusonge mbele. mwisho wanatusamehe kama walivyofanya kipindi cha mkapa.
Bazungu balaa sana. eti haki za binadamu kufirana? Mungu atunusuru. Kagame kule rwanda amezuia na kufunga makanisa waidi ya 800, wazungu hawakuona hiyo ni kinyume na haki za binadamu badala yake wamemsifu na hata kwenda huko kufungua viwanda vya magari.
Kwa hawa wazungu hata ukiua watu wako 1000 ukawahifadhi mashoga 10 wewe una haki za binadamu
Na yule balozi wao aliyeondoka nae ni wa ruttyrutty nini????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.