Mimi naomba kuuliza, hivi kuna sheria nchini inayowawajibisha viongozi na ahadi za uchaguzi wakishindwa kuzitekeleza, yan sheria inayowabana viongozi kwamba unapoahidi jambo wakati wa kampeni basi kisheria unatakiwa kuitimiza na ukishindwa kuna adhabu inakufuata, sheria hii au kifungu cha sheria...
Acha tuulize tupate majibu kisheria zaid lkn kama mdau alvyosema kama unatambulika kisheria na umejisajili BRELA akifanya hivyo ni kosa na anatakiwa akulipe kabisa au hatua za kisheria zifuatwe lakn kama haujajisajili na wala hautambuliki na BRELA kama ni m-bunifu labda wa mavaz au kazi nyingne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.