Recent content by rozaliass123

  1. R

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akibadilisha Mawaziri, hawa lazima waende na maji

    Ummy mwalimu hana tatizo kabisa ni mchapa kazi mzuri sana.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    Naona kuna ukweli mkuu.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kisasa inapangishwa.

    Ina vyumba vingapi vya kulala? Toa maelezo vizuri.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa lipo Tabata bima

    Sq mt. 800 au 8000 mana cjaelewa.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Siri ya uhakiki wa watumishi hewa yabainika, serikali yashindwa kubaini wenye vyeti feki

    Basi wacha Mungu mwenyewe awahukumu. Kama walishakwenda kanisani wakatubu kwa Mungu wao na Mungu wao akawasamehe we ni nani hata uwahukumu? Kwani unataka kusema kuwa we hujawahi kufanya kosa na ukatubu kwa Mungu? Au we.ni mtaktatfu mia kwa mia hujawahi kifanya dhambi yeyote? Tusiwe watu wa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Siri ya uhakiki wa watumishi hewa yabainika, serikali yashindwa kubaini wenye vyeti feki

    Mtoa mada ujue hao unaotaka wafukuzwe ili we uingie nao ni binadamu na wanafamilia zao wake na watoto leo hii unasubiri wafukuzwe na we uingie huoni qe una rih mbaya? Mi nafkiri ungechukua jukumu la kuwaombea ili mungu awanusuru na matazo na kwa njia hiyo mungu angekubariki. Lakin we unakwenda...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Siri ya uhakiki wa watumishi hewa yabainika, serikali yashindwa kubaini wenye vyeti feki

    Lakini kama umetoka shule na unajua kabisa mungu ndiye aliyekuwezesha kupata hiyo elimu yako na Mungu huyo ndiye atakuwezesha kupata kaz, basi Mungu atakwenda kukupa kazi kwa njia ya mujiza. Na utashangaa unapata kazi na unapta mtaji mzuri na unamtukuza mungu. Huku wanasubiria wenzao wafukuzwe...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Siri ya uhakiki wa watumishi hewa yabainika, serikali yashindwa kubaini wenye vyeti feki

    Mtoa mada kama ulisoma shule kuja kusubiri watu wafukuzwe kazi ili wew upate kaz,nakuhakikishia utakaa upate kaz. Utazunguka na bahasha yako miaka yote hutafanikiwa. Mana inaonekana we ni mtu mwenye roho mbaya na wivu mkubwa sana. Ukiona mtu anatoka kazn unawaza lini atafukuzwa. Badilika mwombe...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Zitto: Serikali yalikoroga ujenzi standard gauge, wachina wanyimwa zabuni, wagoma kutoa pesa

    Kuhusu israeli hapo simlaumu rais, kwani amefuata magizo ya Mungu kwamba atakayembarki israeli naye atabarikiwa. Kwa hiyo alichokifanya Rais ni kuiletea nchi yetu baraka zaidi. Na tunamwomba ajitahdi sana kuweka mahusiano ya karibu zaidi na israeli ili Mungu abariki nchi yetu.
Back
Top Bottom