Recent content by Rouhy

  1. R

    DOKEZO Msaada: Taasisi ya WATED (Women Actions Towards Economic Development) yagoma kutulipa malipo yetu ya kazi ya makala tuliyofanya

    Mkataba unasema malipo yafanyike siku tano baada ya kukabidhiwa kazi. Toka mwezi wa 3 tunazungushwa tu.
  2. R

    DOKEZO Msaada: Taasisi ya WATED (Women Actions Towards Economic Development) yagoma kutulipa malipo yetu ya kazi ya makala tuliyofanya

    Sana tu! Wanakupa presha ukabidhi kazi kwa wakati lakini kwenye malipo wanakuwa slow, na wengine kama hivi wanakataa kulipa kwasababu zisizo na msingi.
  3. R

    DOKEZO Msaada: Taasisi ya WATED (Women Actions Towards Economic Development) yagoma kutulipa malipo yetu ya kazi ya makala tuliyofanya

    Tulipewa kazi ya kufanya makala na Taasisi ya WATED, ambapo ilifanyika mkoani Tanga, na ilitakiwa tulipwe na taasisi ya WATED wakishalipwa na Shirika la OHCHR ( Office of the United Nations High Commissioner for Human Rights) baada tu ya kukabidhi kazi, na kazi ilikabidhiwa ndani ya wiki moja...
Back
Top Bottom