Recent content by Rotika

  1. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke mwema

    Bado naamini kupitia kwenye hili jukwaa naweza kupata mpenzi, mchumba mpaka mke mwema. Miaka yangu 33 Nimeajiliwa kwenye wilaya mojawapo ya mkoa wa Pwani. Muajiriwa serikalini. Mimi ni mrefu,Mwembamba wa wastani na niko smart kimuonekano na kiakili. Naomba Mwanamke mwenye sifa hizi:- Miaka...
  2. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

    Una hoja lakini uwasilishaji wako una hitilafu.Wanaume wenzangu bado nashauri unapoamua kuanzisha familia Dunia ya leo,jitahidi uwe umejitafuta kwa baadhi ya mambo ya msingi.
  3. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

    Kuna mambo mengine ukisimuliwa unabaki tu unacheka.Pole sana mwamba Dunia uwanja wa fujo.
  4. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

    Wanaume tuishi humu.[emoji123]
  5. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

    Hadithi za wewe oa tu mambo yatakuwa poa ukiwa na mwanamke ndani hata kama hujimudu kimaisha sijawahi kushawishika hata siku moja kwa zama hizi za leo.Mkuu hukupaswa kufanya uamuzi wa kuoa kabla hujajitafuta vizuri.Mimi nimeajiliwa,nimeshajenga na hapa nafikiria kununua gari ila sijawahi...
  6. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Kuna siri kubwa sana imejificha wahenga waliposema ukitaka kuoa familia /ukoo fulani chunguza kwanza baadhi ya tabia,mila na desturi za watu husika. Suala la kuunganisha familia linahitaji ukomavu na kujiridhisha kwa mambo mengi sana. Naamini kuna baadhi ya tabia za kwao ungezijua kabla hata...
  7. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi kutawaliwa na mke wangu kitu ambacho sikipendi katika maisha yangu

    Unawezaje kuishi na mwanamke kama huyo ,Kama hakuheshimu maana yake atakuwa na makandokando mengi pia ambayo atakuwa anakuficha.Ukishakuwa Mwanaume maaumzi magumu yana faida sana yanapokuja masuala kama haya.
  8. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, kabla ya kuamua kuingia ndoani fanya kama mimi

    Nakupongeza kwa hili jaribio mkuu.
  9. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke anahitajika

  10. Rotika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke anahitajika

    Wasifu wangu. Mrefu Mwembamba Dini -Mkirsto Kazi -Mwajiliwa serikalini Umri 32 Situmii kilevi chochote Natokea Nyanda za juu kusini Awe na sifa zifuatazo 1.Mkirsto 2.Mfanyakazi/Amejiajili 3.Umbo la wastani 5.Asiwe na mtoto 6.Atokee Dar, Morogoro /Pwani kwani mojawapo ya hiyo mikoa ndio...
Back
Top Bottom