Wakuu kwema?
Hivi vibanda vinasaidia sana wafanyabiashara wadogo kuanza kujitafuta.
Naomba kujua yafuatayo:
1- kwa anayetaka kununua, vinauzwa bei gani?
2- kwa anayetaka kukodi, kinakodishwa bei gani?
3- kama nikinunua nikawa nacho nataka kukiweka barabarani, process yake ipoje??
Safari moja huanzisha nyingine....tutafika huko someday,kwa sasa ngoja tuanze na SA vipi lakini mkuu we ushatoboa huko?
Kama hutojali unaweza kuja Pm kunipa ABC za kufanya endapo nikiwa ready kwa route ya huko!!!
Asante.
Hata me hakuna sehemu nimeandika naenda kutafuta matatizo wewe ndo umeanzisha mada za matatizo.... endapo yakinikuta its okay matatizo ni sehemu ya maisha!!
Kama ni hivyo kusingekuwa na wageni kabisa SA..... anyways wewe point yako haswa ni ipi???? Maana mimi ninachotaka kujua niende Pretoria/Capetown/Johannesburg??? Basii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.