Recent content by ronnycharlz

  1. ronnycharlz

    Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

    Hivi karibuni kuna iwezekano nitapata kazi nyingine as a consultant ikimaanisha kwamba sitatambulika kama muajiriwa na nitahitaji kuprocess bima ya afya yangu mwenyewe binafsi. Nahisi NHIF ina unafuu wa bei, ila sijafanikiwa kupata gharama za vifurushi za BIMA nyingine kama Strategis, AAR, etc...
  2. ronnycharlz

    Naomba Ushauri kuhusu hili la Samsung chomebook pro na Google stadia

    Speedtest Fanya speed tests hapo juu. But for a few reason i think you should consider other options: Minimum required internet speed for Google Stadia is 10mbps The lag will be too high (you need a very low ping to play depending on the game, chini zaidi kama ni fast pased game, e.g call of...
  3. ronnycharlz

    PC Game Trading?

    Kuna Gamer yoyote ambae ana collection ya PC games (2019 - 2020)? ninazo games kadhaa. kama tungeweza kubadilishana itakua poa. Don't tell me FIFA, GTA 5 and Call of Duty. XD
  4. ronnycharlz

    Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

    Kwa mtu mwenye matumizi makubwa ya data - tuseme 100GB kwa mwezi - Ni huduma gani ya internet nzuri? sio lazima iwe mtandao wa simu, matumizi ni kwenye PC. Ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
Back
Top Bottom