Recent content by rongilo

  1. rongilo

    JamiiForums Tanzania Tujiandae kuidai ripoti ya CAG, inatakiwa iwe Public document

    Bora tuipate tu hiyo Report tuthibitishe uzaifu uliosemwa... Maana kuna nguvu kubwa inaonekana kuficha udhaifu huo. Eti kutoa wabunge nje na kuwafungia ndio tuone BUNGE SIO DHAIFU... Noo, Udhaifu aliosema CAG sio huooooo... Watanzania tunaelewaaaaa
  2. rongilo

    JamiiForums Tanzania Data Analytics

    SOLUTION: Calculating Effective Interest on Reducing balance… I Have a solution to Banks / Financial Institutions to recalculate / Compute effective interest on a loan (USING ACL DATA ANALYTICS).. Contact me for consultation. 0655608282
  3. rongilo

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa "flats" 20 za ghorofa nne kwa Tshs bilioni 10, kila flat ni Tshs milioni 500. Twende kazi!

    Samahani.. Umesema Nyumba au CHUMBA????????
  4. rongilo

    JamiiForums Tanzania Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Daaaah.... Hako kamsemo kanamaana kubwaaa.... "MUUNGWANA AKIVULIWA NGUO HUCHUTAMA" Ha ha haaaaaa
  5. rongilo

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa habari na Msemaji wa serikali kuongea na waandishi wa habari (Sijui watamjibu tena Lissu au vijembe)

    Hapo huwa napata shida sana kuwaelewa waandishi wetu wa habari... Maswali yakooo mengiiiiiiiii sanaaaaa ya kuuliza.. Mfano Kilichosemwa na TL ni kweli au sio kweli? Je Hasara hiyo Kwa watanzania nani anawajibika? Je ni kwa nn walikuwa Kimya na wameshtuka WATANZANIA AMBAO KIMSINGI NDIO WENYE MALI...
  6. rongilo

    JamiiForums Tanzania Polisi waenda kupekua nyumbani kwa Mbunge Tundu Lissu

    Atakuwa kawaambia Bumbadia iko nyumbani twendeni Mkachukue.. Ha ha haaaaa... Kuna kale kamsema kanasema "AKILI YA KUPEWA CHANGANYA NA ZA KWAKO" Nakapendaaaa
  7. rongilo

    JamiiForums Tanzania Hii ndio Tanzania ya viwanda

    She Sheria??? Sheria ipi inayomlazimisha diwani kuhudhuria MBIO ZA MWENGE?????
  8. rongilo

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha Madai ya CHADEMA kwamba hakuna Viwanda Vipya awamu hii, imesajili viwanda 2,536

    Nadhani Wangetueleza kwanza nini maana Ya "KIWANDA"... Tasfiri ya Kiwanda BRELA, SIDO na Kadhalika ni ipi??? Maana nimesikia leo pia wanasema eti "biashara zilizofunguliwa ni nyingi sana kuliko zilozofungwa" nikakumbuka hata machinga, bodaboda, bajuj nazo ni biashara... Teh teh tehhhhhhh...
  9. rongilo

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua maadili yamekiukwa kwenye kazi ya sanaa ni Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) au Rais?

    BASATA mlitupa taarifa kuwa wimbo wa WAPO wa Ney wa mitego hauna maadili, na hautakiwi kusikilizwa, kupigwa radioni, wala kusambazwa katika mitandandao.... JE sasa hivi umepata maadili baada ya baraka ya RAIS???? Tanzania kila kitu valu valu duuuh.. TUJADILI WADAU
  10. rongilo

    JamiiForums Tanzania CCM: Kinana hataongea na wandishi wa habari, yupo nje ya Nchi

    Hilo nalo Neno.
  11. rongilo

    JamiiForums Tanzania Vyeti vya Makonda: Ni Siasa za Woga na Hofu ya Ukali wa Sizonje?

    Angekuwa na CHETI Chake cha ZERO hakuna ambaye angehoji elimu yake... Issue na Forgery.... Ana ZERO then kachukua cheti cha mtu kwenda kusomea Diploma... THATS THE ISSUE msitutoe kwenye MADA KUU.... I repeat, issue sio kasoma mpaka darasa la saba au form four au chuo... THE ISSUE IS KUFOJI...
  12. rongilo

    JamiiForums Tanzania Vyeti vya Makonda: Ni Siasa za Woga na Hofu ya Ukali wa Sizonje?

    1. Kwani walioosha gari la Manji kuna MTU aliwashtaki?? Mbona raisi aliliongelea??? 2. Waliofukuzwa kwa vyeti feki na elimu ya uongo serikalini kuna MTU aliwashtaki polisi au mahakamani? 3. Watu walipohoji kwenye Mitandao ya kijamii Mashaka ya Elimu ya Mwigulu nchemba, kuna MTU alimshitaki...
  13. rongilo

    JamiiForums Tanzania Makonda yuko sahihi. Kubadili jina kuko kisheria

    Usipotoshe watu, Issue sio kubadili jina, issue ni kutumia cheti cha mtu mwingine...
  14. rongilo

    JamiiForums Tanzania Madudu TCU, Ndalichako achia ngazi

    Nachokiona mimi hapo, na kinachonipa wasiwasi ni QUALITY ya ELIMU katika vyuo vyetu.. How comes watu wasio na sifa / uwezo waende chuo na wasome wafaulu, no kudisco... Wengine kati yao wamesha graduate may be with FIRST OR UPPER SECOND... Jibu rahisi tu ni kuwa Ubora wa elimu katika vyuo vingi...
Back
Top Bottom