Yaani hii imetokea km kwetu wametuchezea wee! Ila Mungu ni mwema sana tuliwagundua wameaibikanvibaya mno na umasikini ndio unazidi kuwaandama bila kusahau fedheha ya uchawi! People can be so stupid sometimes.
Asiejua ataona km umeongea juu juu tu ila kiukweli hili ni jambo kubwa na lipo mnoo kwenye hizi jamii zetu za kiafrica! Mtu unasoma kwa shida...unafanya kazi kwa bidii unakuja kufungiwa mambo yako na chizi mmoja kwa kofia ya undugu...mi kwangu siwataki kabisaa!
Mtoto wa mwenye nyumba wangu is my lifetime mistress... ss wanaume huaga tunazingua sometimes nakiri hilo japo kwa mtoto wa mwenye nyumba sijilaumu. Sidhani km alishawahi kujua basi tu nae alikua na agenda zake binafsi.
Kumbe naongea mwanamke wa type yako?? Nilijua naongea na mtu wa maana kumbe mswahili mswahili km wewe? Nitolee stress za kusalitiwa na mmeo mpk unajua ni jinsi gani kakuchoka mpk anakudharau! Unaambiwa hili unajibu lile ilimradi unataka uonekane bingwa wa kujibu mi sibishanagi na wanawake...
Mbona unapanick tena?? Kwenu hamna wanaume weupe mpk wapake carolite? Mimi ni mwanaume mwenye asili ya weupe ukiangalia watu wengi tuliotoka maeneo ya kaskazini ndio rangi zetu na wife au mwanamke yyt nnaempenda mm ni mwenye rangi nyeusi au brown hivyo weupe sio priority kwangu jua hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.