Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,625
Na ke asipokuroga hujengi Milele sababu hutakaa utulie kila ukipata unaiona km maji ya mgando unaenda mbele!! lkn ukirogwa unatulia tuli!! ukirogwa tena unaanzisha familia nyingine!
Halafu Me hamjui tu kuna ke wengine ni kama anafungua mirija ya mafanikio km Hela, Safari tena za kimataifa, kupendwa na kujaliwa kazini, hata humu JF utapendwa yaani kifupi kimavi mavi kinakutoka kabisaa,
km wewe ni Mwandishi wa habari utaandika sana, km ni Mwana JF unakuwa Maarufu km Eclat, Mshana nk Nyie niliowataja msiwaache wake na waume zenu!!! Na huwezi jua mpaka uonje onje!!
Na km akipatikana mtoto hapa kwa uzinzi huu wa kuvizia mara nyingi kuliko zote ndo wana Run Dunia! chunguza!!!!!! Napoleon, Hitre, Idd amin...nk
Halafu Me hamjui tu kuna ke wengine ni kama anafungua mirija ya mafanikio km Hela, Safari tena za kimataifa, kupendwa na kujaliwa kazini, hata humu JF utapendwa yaani kifupi kimavi mavi kinakutoka kabisaa,
km wewe ni Mwandishi wa habari utaandika sana, km ni Mwana JF unakuwa Maarufu km Eclat, Mshana nk Nyie niliowataja msiwaache wake na waume zenu!!! Na huwezi jua mpaka uonje onje!!
Na km akipatikana mtoto hapa kwa uzinzi huu wa kuvizia mara nyingi kuliko zote ndo wana Run Dunia! chunguza!!!!!! Napoleon, Hitre, Idd amin...nk