Sasa wewe ndo mkaguzi wa izo pharmacy ukiweka cheti chako
So unataka ujikakugue mwenyewe au ?
Au kwa namna ulivyo uliza unataka kusema vipi kwa kua ni hoja unaweza labda kua na mchango wenye tija hebu tupe mkuu
Kwenye hizo taasisi cheti chake hakitumiki fungulia pharmacy wakati huyu wa tamisemi anaweza fungua phamacy
Ila aya mambo Kwa ground vitu ni very trick
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.