Ongera Jeshi la polisi kumbe muda mwingine mnafanya kazi,eti me nawaonaga mmesimama tu barabara
na bunduki zenu,uku wengine wakizunguka tu mjini hapa na bodaboda kumbe mnakuwa kzn big up.:smile-big:
:disapointed:Yaani uyu mama me nilienda kanisani kwake mar1 tu kiukweli sikurudi tena,kwa majisifu sijapata kuona.
Wanaoenda pale niwale wenye uwezo,magari yakifahari,nguo za gharama me kajambanane nasali kwa kakobe
mwendo wa sale vilemba kwasana,Anapangishia mchungaji hotel wakati shule zake...
Mambo wana jamii forum am a new member,plse tushirikiane kutoa maoni yetu kwa jamii inayo tuzunguka pamoja na serikali yetu,tuwe makini tunapochangia oja na kuandika vitu ambavyo tunauwakika navyo sio kuleteana majungu tu...:disapointed:.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.