Recent content by Rodrigoleonard

  1. Rodrigoleonard

    Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Kuku wa mayai wanalipa sana kwa kiasi Fulani ila unahitaji kumeteini kwenye chanjo na chakula . Kuku wa Malawi ni wazuri sana kwenye kutanga mayai na hawahitaji umakini sana kwenye kuwatuza ila chanjo ni lazima wanaanza kutanga mayai wakiwa na miez mitano , mitano na nusu, mpk 6 Wanataga mayai...
  2. Rodrigoleonard

    Naomba ushauri kuhusu biashara mayai

    Ndio ila sikupata faida nzuri so niachana nayo kulingana sikuwa na wateja wa kutosha , mayai yalikuwa yanakaa muda mrefu kidogo so unakuta inakugharimu kwa upande Fulani kwa sasa nipo kwenye ufungaji wa kuku
  3. Rodrigoleonard

    Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

    Habari za muda wadau. Hivi kwanza unajuwa maana ya neno KAFIRI KAFIRI ni neno la kiarabu lenye maana ya mpingaji kwa kiswahili. So neno la kawaida tu that is why Christian wanaitwa wapingaji cuz wamemfanya mungu katika nafsi tatu yaani baba , mwana na la roho mtakatifu kitu ambacho uislam...
  4. Rodrigoleonard

    Naomba ushauri kuhusu biashara mayai

    7500 ni kwa jumla ama reja reja Mm nataka kwa jumla Ila 7500 ni kubwa sana kulingana na gharama za usafirishaji na kodi Kodi ya bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar Je apo kwel faida nipata?????
  5. Rodrigoleonard

    Naomba ushauri kuhusu biashara mayai

    Ndyo kaka biashara lazima uweze kufanya research kwanza. Ujuwe faida na hasara yake iko wap Na nini cha kufanya ila biashara uweze kukupa faida
  6. Rodrigoleonard

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Kuku wa mayai wanafaida ila hasara ndyo kubwa
  7. Rodrigoleonard

    Naomba ushauri kuhusu biashara mayai

    Nataka kufanya biashara ya mayai ila nataka kununu DARESALAM kuyaleta Zanzibar. Itakuwa nauza jumla na reja reja Na ombeni ushauri wema? Je, niaze na mtaji wa kias gani? Na je vitu itapata faida kweli?
Back
Top Bottom