Nadhani haya yote yanafanyika kwa manufaa ya wachache tuu.
Kuingia madarakani kwa serikali ya awamu ya Nne, wengi wetu tuliamini kwamba mambo yangeweza kubadilika na kuwa mazuri kwa kiasi fulani (to improve) kutoka hali tuliyokuwa nayo. Lakini mambo hayakuwa hivyo. Mtanzania wa kawaida...
Ni vyema tukawa na Shirikisho, ila wasiwasi wangu ni juu ya hii "fast tracking" ya uanzishwaji wa hili shirika!
Nadhani bado tuna maswali kadhaa muhimu ya kujiuliza. Baadhi ya hayo ni kama:
1. Nini itakuwa hatma ya taifa kama Tanzania baada ya shirikisho?
2. Je, sababu zilizoiua Jumuiya ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.