Dr Kingwangallah,sisi watanzania ni watu wa ovyo kabisa.Kwanza ni wavivu,wapenda maneno lakini vitendo zero na mwisho walalamishi sana.Kaza buti mkuu.Sisi tunaojitambua tunakuunga mkono.By the way,hivi serikalini watumishi wanazo KPIs?Kama hazipo wawekewe hizo ili kila mtu awajibike.
Naona kama ni wazo zuri ila naomba kama kuna mchumi ajitokeze hapa atupe maelezo juu ya athari ya proposal hii kiuchumi.Kama hakuna athari basi tumshauri Rais alichukue wazo hili.
Mzee Mwanakijiji,JPM akomae na misamaha inayotolewa ovyo,wafanyabiashara wa kati na makampuni ya simu pamoja na madini.Nakwambia Sh trillioni mbili ataifikia tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.