Recent content by Rod eli Shia

  1. R

    Swalii kuhusu course za diploma

    Je unaweza kuapply udom university ama chuo chochote kwa ngazi ya Diploma kama umemaliza form 4
  2. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Unaweza pia uka apply Diploma kwa Udom kama umemaliza 4 tu
  3. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Yaan una maana ni hvyo tu viwili kama kipo kingine inahusiana na cours ya pharmacy ama hata agriculture
  4. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Sawa,, naomba pia mnitajie vyuo vingine ambavyo bado vina endelea na usajili
  5. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Asante ngoja nijaribu bahati yangu
  6. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Kaka angu shida inakuwa deadline ilikuwa 15aug na kuna baadhi ya vyuo ndo vinaendelea na udahili shida ni kwamba hivyo vyuo ni vpi ambavyo vinaendelea na udahili kwa diploma
  7. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Nina 2:19 chemistry C Biology C na physics D
  8. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    APPLICATION za vyuo nataka nijaribu kurudia kuomba
Back
Top Bottom