Jamani naomben msaada m nmgeni huku jforum natuma jumbe zangu misaidie kutolea ufumbuz wa kimawazo lakini sijaz kama nmefankiwa kupost mkaona naomba maelekezo jnsi ya kupost jumbe zangu
Kwahyo uko mlandizi ad wauza mkaa wamtaani yaan wale wamajumban wanaouza mkaa wakupima wamakopo wanahitaji wawe na vbali ?
Ama wenyewe mambo n shwari tu wanauza bla usumbufu
Kwan Mimi pia natamani nifanye Io biashara ya mkaa ya Kwa kopo nasyo Kwa jumla huko mlandizi.Je na hyo pia inahtaj vbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.