Recent content by roby7

  1. R

    Naomba ushauri nataka kununua gari

    Kua makini tu. Jambo la msingi tafta fundi ambaye kidogo unamwamini. Na pia tafta elimu kidogo ya magari....mfano kutambua gari lililopata ajari, kuangalia gear box , na engine na body kama zipo vizuri...just basic. Pia usiwe na haraka sana. Unaweza kupata kwa mmiliki kabisa kwani kwa gari hizo...
Back
Top Bottom