Recent content by Robo

  1. R

    Sheria ya Gesi: Ali Mufuruki (CEOrt) aungana na Mengi (TPSF)

    Nakumbuka wakati Rais anaanza kushika nchi alipitia upya mikataba yote ya madini na kufanya wawekezaji wa nje kuhaha, ukizingatia kwamba Rais wa enzi hizo (Mkapa) aliegemea sana kwa wekezaji wa kigeni na Kikwete alipoingia adhma yake ya kwanza ilikuwa maslahi kwa taifa kwanza. Lakini leo hii...
  2. R

    Historia ya Augustino Ramadhani: Kutoka Brigedia Jenerali, Jaji Mkuu hadi uchungaji

    Pia kwa vile ni lecturer maana yake ni Prof
Back
Top Bottom