Alibaba maisha zaidi ya Watanzania 60, je ni kweli tulichoweza kumsaidia Mtanzania mwenzetu akiuwawa na Watu ambao sio Watanzania ni kurecord video?
Unauma saaana, inatafakarisha saaana, Hivi hiki kitengo hiki kinafanyika Kenya au Rwanda ingekuwaje? Anyway itoshe kusema Wanaume wote mlio...
Ukatili aliofanyiwa Binti na wale vijana ni la kukemewa na kila Mtanzania mwenye akili timamu, Watanzania wana imani Mamlaka zinazohusika zitahakikisha binti ana pata haki yake kwa kuwachukulia hatua stahiki wote waliohusika.
Tanzania kama Taifa lililokuwa na misingi mizuri ya Utu, maadili...
Nafikiri hauko sahihi kabisa kama utaangalia impact ya SGR itakavyoleta na kuongeza uchumi wa Tanzania kwa kufungua biashara ndani na nje ya Tanzania.
1. SGR itafika mpaka Kigoma- Mizigo ya kwenda Burundi itaweza kusafrishwa toka DSM mpaka Kigoma kwa SGR then from Kigoma inavushwa kwa meli to...
Hakuna shaka kuwa janga la uharibifu wa mazingira ni tatizo la Dunia nzima, athari za janga hili ni kubwa sana, Tanzania kama sehemu ya Dunia tumeanza/tunaendelea kupitia maafa ikiwa ni pamoja na ukosefu wa mvua, kupungua kwa vyanzo vya maji, mafuriko, kukauka kwa mabwawa etc ambavyo vyote hivi...
Mh. Chalamila- Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, pole na majukumu ya kujenga Dar Es Salaam na Taifa kwa ujumla.
Mkoa wa Dar Es Salaam kwa hivi karibuni umekuwa ukipata changamoto ya baadhi ya maeneo kupata mafuriko katika mito au mabonde.
Ni kweli mara nyingi Serikali imekuwa ikishauri Watu walio...
Ni muhimu Vijana tuwekeze saana kwenye knowledge and skills, hivi ni vitu ambavyo utakufa navyo.
Wenyewe wanasema "There are only two buckets that any such Proffesional earthquake can never empty, it can never remove your knowledge and can never unlearn your skills
Network yako yote uliyo nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.