Asante mkuu..
Kwann idadi ya miche inapishana sana kati ya upandaji wa mstari mmoja na mistari miwili?? Na pia kwa eneo kama hilo unahitaji gram ngapi za mbegu?
Asante mkuu hapo nimekupata.. nimeuliza pia Eden F1 ipo kwenye kundi la nyanya ndefu zaidi ya mita1.5 au? Maana niliponunua mbegu waliniambia ni ndefu. Ila sikuuliza ni erefu kwa kias gani.. nitashukuru ukinipatia ufafanuzi. Natanguliza shukrani.
Mkuu asante kwa maelezo mazuri.. je Eden F1. Ipo kwenye kundi la nyanya ndefu zaidi ya 1.5m... maana niliponunua mbegu niliambiwa ni nyanya ndefu na sikua aware kuuliza inafika mita mangapi.. naomba ufafanuzi mkuu..
Mkuu hapo sijakupata.. unamaanisha kama msimu huu ulilima ANNA F1.. msimu ujao usilimie tena hiyo ANNA F1. Ulime mfano EDEN F1. Coz ukilima ANNA F1 itaenda kwenye F2? Naomba ufafanuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.