Channel ni ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza,anayehoji ni mfanyakazi wa mwenyekiti ccm mwanza,anayehojiwa ni waziri na pia ni kada nguli wa ccm...wanachokijadili ni kashfa inayomuhusu kada mpya wa chadema na mgombea urais kwa tiketi ya chadema aliyehama kutoka chama cha mmiliki wa hii channel...
Siasa za mwaka huu zmekuwa za kushindana kujaza watu mikutanoni na wingi wa bendera,lkn tuna haja ya kufahamu kuwa ayo yote hayasaidii km hatutashiriki ktk upigaji kura.
Kasumbua sana songea mjini yani ata ckuamini ila nili-enjoy sana kuona kundi kubwa la akina mama na wazee wakum-support mama yetu....viva cdm,viva ukawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.