Hii imekaaje mfn mm ninayo nyumba ya kupangisha nahitaji ikopea
Ila nje na hiyo ninazo pikpiki za mikataba nimetoa kwa week na uhakika wa kipato cha laki 250 ambayo naona hiyo pamoja na nyumba ile kwa mwaka naweza ingiza mpka mln 20 ila nahitaji kukopa mln 13 au 15 ili niweze kununua tipa used...
Mimi naomba kuuliza kwa wale walio pitapita katika maswala ya kiuchumi KUKOPA BANKS
Mfano Mtu unahitaji Kukopa BANK mkopo wa milioni 15
Naomba kujua, Interest rate yao haya mabenk kwa mkopo wa Life Span ya Miaka miwili au Mitatu ni ipi na kama Mtu unaeka Bond Nyumba?
Rate zao zikoje na...
Hii risks profile zao ni nini ndugu?
Au hao wanao pigwa mpka asilimia 17% hao sababu inakua nini?
Na mfano nahitaji mkopo wa milion 15 lkn nilipe ndani ya miaka miwili na nina asset ya nyumba ya kupangisha ambayo inathaman ya milion 30. Na nikiwa nawekaga hela zangu kweny bank husika ndani...
Mfano nahitaji kuchukua mkopo wa milion 13 je nikiomba kulipa ndani ya two years riba itabaki hapo hapo kweny rate ya 13% ? Maana kama ni hvyo na hakuna additional issues ambazo zitanilazimu niongeze hela zaidi kwangu mimi mbona ni nzuri cz mm huo mkopo kwa mizunguko yangu naeza umaliza within...
Habarini wanajamvi samahanini naomba kuuliza kidogo juu ya hili swala.
Ninampango wa kununua CANTER USED ilio katika hali nzuri ili niweze kufanya biashara ya usafirishaji ambapo katika biashara mimi nitakaa kama Tandu kushoto. Sasa naombeni msaada wenu wa A,B,C juu ya hii biashara
1. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.