Soma tena!
Utaelewa!
Yaaani yeye anashinda chumbani kwake anacheza na simu muda mwingi ,anaamka SAA mbili, anakunywa chai anarudi chumbani kwake,.........we soma tu utaelewa ,
Kama hautaki pita kimyakimya
Hahahaha
Hahahhahja
Hahahaha
Hahahahhah
Mie alikuwa anamsifia eti anatunza watoto!
Watoto wakaninongoneza kuwa kazi nyingi wanafanya wao baba anawapangia!
Nikisema sana atanigundua bureee,hakosi kupitia humu nikamtimua fasta!
Ukisifia mwisho utataka kuonja na vingine!
Na wakisifiwa wanakuwa...
Ilaa bwaaaana ...
Usisikie mke mwenza!
Hata uwe wa pili akiletwa wa tatu huo uchungu wake wa kihisia acha kabisa ,waweza kufa gafla au taratibua!
Ni kama mwanaume anapogundua mke anachiti na MTU Fulani na kufikiria kuuwa!!
Mbaya zaidi, men wengi huoa kama adhabu kwa mke au wake waliopo,ndio...
Yaaani wananikera sana!
Uchafu na uvivu toka majumbani kwao!
Ndio maana midume inanuka sana hapo kati kwenye daladala utajuta akishika BOMBA karibu yako!
Uvundo!
Wamama wafundisheni, watoto wenu kujihudumia bado mapema, ni mizigo wakikua kwa familia zao!
Kwani mke mtumwaa! Khaaa!
Kutafuta...
Umeishiwa ,
Pole sana!
Madada zako wamejaaa kibao mtaaani na rangi za chungwa, wa bure hata dahwaa hutoi!
Wewe unawaza doll, unalaaana,
watu kama wewe usijenge kwenu utakuwa fala daima
Watu kama wewe nauza hata boxer nanunua cement
,
Pptyuuuuu
Wanaume wabifsi sana linapokuja suala la kusaidia familia ya mwanamke!
Iwe misiba, maradhi, harusi na mengine mengi!
Unakuta mwanamke ndio pekee amesomeshwa kwao wewe umepata ready made, anakazi nzuri,,lakini unambania asisaidie kwao,kwenu kila mwezi unapeleka fungu. Hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.