Bila ya msaada wa nchi za magharibi, NATO, hakuna nchi yeyote, iwe Tunisia, Egypt, Libia, Syria, Afghanistan, Iraq. Kooote Huku, hakuna wananchi bila ya msaada toka nje mnaweza Fanya huo ujinga, wadanganye vipofu
Mkopo kwa ajili ya shughuli za Maendeleo sio mkopo wa kulipia vikao vya bunge la katiba 300000/ kila mtu. USA inaongoza duniani kuwa na deni kubwa la US $ 889billion Lakini Ni kwa ajili ya shughuli za Maendeleo
Kuna wapiga deal za
SUKARI TOKA NJE
MISHAHARA HEWA
MAKONTENA BANDARINI
VYETI FEKI
VYUO FEKI
WAFANYAKAZI HEWA
WAPAMBE WA LOWASA
WAKWEPA KODI, walikuwa wananufaika Sasa mambo Hayo hayapo, wanachofanya Ni kuhakikisha kuwa JPM anaonekana hafai kwa sababu ambazo hazina miguu wala kuchws
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.