Recent content by RiMaHo

  1. R

    Natafuta Tenda ya unga wa sembe

    Nahitaji mkuu ila kwa bei hiyo hiyo ukijumlisha na usafiri, Nipo morogoro mjini. Kama utaweza niambie nikupe mawasiliano.
  2. R

    Interview imeshaanza pale maktaba kuu ya taifa

    watu 689 wanagombea nfasi 23
  3. R

    Mwenye uelewa kuhusu watu walioitwa kwenye usahili-idara ya uhamiaji.

    Jamani zimtoka au bado, nijuzeni maana sina jipya wakuu. ni za lini , ni mwaka huu 2014. nipeni data jamani
  4. R

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    sawa kijana ninachukua order yako sasa.
  5. R

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    Wengine wanaonekana awahufaamu vizuri huu mchele(ebu mgoogle neno PARBOILED RICE). Alafu jaribu kufuatilia ili huelimike zaidi juu ya Biashara hii. NB: KUHULIZA SIO UJINGA BALI NI UELEVU.
  6. R

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    Kijana hiko ni kianzio tu. Juhudi yako itakufanya kukamilisha mahitaji na lengo lako(Work hard to achieve more)
  7. R

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    fahamu kwamba huu sio white rice. Pia nina order ya watu wengi tu...!
  8. R

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    Ninakuja na Biashara ya Mchele huitwao MCHOPEKO, ambao nitauza kwa Sh. 2,000/kg. Katika mfumo wangu wa kuuza nitawahusisha vijana popote ulipo. Wewe kijana nitakupa 1 Kg kwa Sh. 1,600/= na utahupeleka kwa mlaji kwa Sh. 2,000/=, kwa hiyo kijana utabakia na Sh. 400/=. Haya vijana juhudi yako...
  9. R

    Kilimo,mifugo na uvuvi matokeo ya usaili vipi?

    Eti jamani Agro Officer pia walisahiliwa kweli. Mbona hakuna tangazo lao la usaili? Haliye na ufahamu zaidi atujuze jamani..!
  10. R

    Oral Interview Equity Bank

    Bado wakuu but the coming week won't end without call for interview...!
  11. R

    Written Interview Equity Commercial Bank

    Eti mkuu mi nauliza pia ukishafika ubungo stand QUALITY CENTRE(ENEO LA INTERVIEW YA EQUITY BANK) ipo wapi i.e give a rootmap/roadmap yake please..!!
Back
Top Bottom