Recent content by Right eye

  1. R

    Kipa wangu wa JKT to Simba Aliy Salum alikuja na sifa hizi hizi kapewa thnkyu..jiandae kisaikolojia

    Unaandikaga kama upo kwenye gari aina ya chai maharage iliyopo kwenye rough road lakin umeeleweka..
  2. R

    Ni kweli Bob Junior yuko hoi na kakosa pesa za matibabu?

    Ana umuhimu ndio maana kuna siku yake inaitwa Bob Marley day..
  3. R

    Yanga watafute kocha mwingine Folz sio kocha

    Ramli chonganishi..
  4. R

    Yanga watafute kocha mwingine Folz sio kocha

    Zee la gundu vip kwa Gamond?
  5. R

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Kuna chizi moja linamuamini sana huyu mzushi wewe uliona wapi mchezaji katia saini wakati bado ana mkataba tena wa miaka miwili..
  6. R

    Huyu mshambuliaji wa Williete Club De Benguela ya Angola sio wa kumfanyia mzaha ni wa kuchungwa sana pindi Yanga itakapokutana na hii timu

    Tazama vizuri goli la pili utagundua jamaa ana kasi na akili nyingi za kuwatoroka mabeki kwenye kumi na nane..ule mpira ulivyopigwa kwa mshambuliaji wa kawaida asiye na speed asingefunga lile goli..
  7. R

    Huyu mshambuliaji wa Williete Club De Benguela ya Angola sio wa kumfanyia mzaha ni wa kuchungwa sana pindi Yanga itakapokutana na hii timu

    Tazama mechi zao ukipata nafasi jamaa ni mzuri sana anavaa jezi namba tatu mgongoni..
  8. R

    Huyu mshambuliaji wa Williete Club De Benguela ya Angola sio wa kumfanyia mzaha ni wa kuchungwa sana pindi Yanga itakapokutana na hii timu

    Yeah yupo jana alifunga goli mbili katika ushindi wa goli mbili kwa moja kati ya Angola na Zambia..
  9. R

    Huyu mshambuliaji wa Williete Club De Benguela ya Angola sio wa kumfanyia mzaha ni wa kuchungwa sana pindi Yanga itakapokutana na hii timu

    Lakini ni msumbufu na ana kasi ya hatari inabidi maandalizi yaanze mapema ya namna bora ya kumdhibiti..
Back
Top Bottom