Mmh sio kwel ndege haina shida kabisa hata kama unaugonjwa wa moyo labda wakati wa kupaaa kidogo huwa inashitua maana inakuwa bado haijatulia angani ila JPM alipenda kutumia gari ili ajionee kero za wananchi wake
Mama kisha toka kwenye natali mda tyu ni bola angefuata nyayo za mtangulizi wake jpm kwani alifanya mengi mazuri ila akija na mbinu zake kuonesha yuko tofauti nchi itamshinda zaidi hata walio andika gazeti la UHURU hawajakosea wana akili timamu itakuwa wamepata hizo tarifa sehem husika...
JPM alifanya mengi mazuri na yalikuw yanaonekana hata bila promo za wanahabari tena kwa mda mfupi ndio maan wanaharakati wengi walijitokeza kumsupport kwa nguvu zao zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.