Napenda kutumia fursa hii kutoa maoni yangu kwa serikali nikiwa ni mwananchi wa kawaida na mkulima hasa kwa kuzingatia maagizo aliyoyatoa Mh. Waziri Mkuu akiwa huko Moshi.
Kwanza kabisa ieleweke kuwa kwa sasa shughuli za kilimo ni kazi na biashara kama zilivyo kazi nyingine ama biashara...
Heshima kwenu wakuu!
Nimekuwa nikiwaza muda mrefu kuanza biashara ya kilimo. Ninaipenda sana japo sijawahi kuifanya. Nimetamani kuanza kununua mazao ama kwa kuyauza moja kwa moja au kwa kuyatunza katika ghala ili niwe nauza baadaye bei ikiwa nzuri.
Ninao mtaji kidogo kwa kuanzia lengo ni ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.