Recent content by Richie Henry

  1. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Yani unauza walionenepeshwa tayari au mtu anunue kisha akanenepeshe? Je Wana umri gani, aina gani, bei gani na uko mkoa gani?
  2. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Ahsante mkuu, kwahiyo hiyo concentrate unachanganya na pumba tu au mahindi tu?
  3. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Duh! Sawa
  4. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Weka bei mjomba mbona kama unapindisha?
  5. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Mbona unaleta utani kwenye mambo serious!?
  6. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Ahsante
  7. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Ahsante sana
  8. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Ahsante sana
  9. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa nguruwe

    Jamani habarini tena! Napenda kusaidiwa kwa wazoefu juu ya hili jambo, je eneo la robo ekari linatosha kwa kuanzia UFUGAJI WA NGURUWE.?
  10. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Ooh safi, ntakutafuta mkuu
  11. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Unaweza kutuma picha yake nikamuona mkuu?
  12. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Ahsante sana mkuu
  13. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Hao Dopper unauza bei gani na wako mkoa gani?
  14. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Nahitaji mkuu
  15. Richie Henry

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kondoo na ng'ombe

    Naombeni kwa anaejua ni kipi bora kati ya ufugaji wa kondoo na ng'ombe wa kienyeji kwa maeneo ya Kahama shinyanga. Yani kipi kinaweza kuwa kinalipa kwa uharaka kuzidi kingine? Ahsante naomba kuwasilisha
Back
Top Bottom