Recent content by Richard Robert

  1. R

    Msanii Vitalis Maembe anadaiwa kukamatwa kwa tuhuma za “kuimba nyimbo za kuitukana Serikali”

    Maembe ni ACT.. NA 2020 NDIYE ALISHINDA UBUNGE BAGAMOYO
  2. R

    Msanii Vitalis Maembe anadaiwa kukamatwa kwa tuhuma za “kuimba nyimbo za kuitukana Serikali”

    Utekaji utarudi kipindi hiki na kuzidi kipindi cha jiwe. Kamata kamata ya Hawa jamaa ina element za utekaji
  3. R

    Msanii Vitalis Maembe anadaiwa kukamatwa kwa tuhuma za “kuimba nyimbo za kuitukana Serikali”

    TAARIFA!⚠️ NIMEPOKEA SIMU SASA HIVI KUWA MWANAMUZIKI NA MWANAHARAKATI, KAKA YETU VITALI MAEMBE (Namba yake⁩) AMEKAMATWA NA POLISI JUMANNE JIONI WIKI HII WALIMUITA KITUO CHA POLISI BAGAMOYO DUNDA AKARIPOTI. ALIPOENDA JIONI HII NA KUFIKA PALE WAKAMUWEKA NDANI.. WATU WALIOKARIBU WAKAENDA...
  4. R

    Mkopo wa Mfadhili waanza kuliwa Chalinze

    Leo Watanzania mnasherekea mkopo wa IMF na kufurahia maekekezo tu kuwa tunakwenda kumaliza tatizo la vyumba vya madarasa na wasimamizi ni wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya chini na watendaji. Lakini tujue maeneo mengi ya nchi yamejaa upigaji. Na wapigaji ni wasimamizi wenyewe. Shida ipo hapo...
  5. R

    Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

    Ben Saanane alijipoteza? Lissu je alijiumiza mwenyewe?
  6. R

    Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

    Mobutu naye anatetewa?
  7. R

    Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

    pingu, sandarus, utekaji, watu kupotea au kupigwa risasi na kutupwa baharini au mtoni. hata haya hujui? au unauliza tu?
  8. R

    Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

    alikuwa hatari kwa taifa
  9. R

    Uonevu wa NEC ni bomu linalosubiri kulipuka; Wagombea 10 Upinzani Shinyanga waenguliwa kuwania Udiwani kwa kukosa sifa

    Ajue kujaza wa CCM, na wapinzani kumi wasijue? ni kichaa tu atakubaliana na ujinga huu
  10. R

    Uonevu wa NEC ni bomu linalosubiri kulipuka; Wagombea 10 Upinzani Shinyanga waenguliwa kuwania Udiwani kwa kukosa sifa

    Ipo siku Tanzania italipuka kupitia hujuma za uchaguzi! Ipo siku yaliyomkuta Nikolae ceacescu wa Romania tarehe 25 December, 1989 tutayaona Tanzania Ipo siku Watanzania wataigeuka CCM na wana CCM wataukimbia utambulisho wao kwa sababu ya kuitumia tume kuchezea demokrasia; --- NIPASHE...
Back
Top Bottom