lap top aina ya HP inauzwa ipo kwenye hali nzuri bei ni laki nne na nusu (450000) Ram ni GB 8 HDD ni GB 1000 Edition ya 7 napatikana mwenge Dar es salaam.
mawasiliano
0763202727
Ac aina ya panasonic1 horse power inauzwa bei laki tatu na nusu (350000) imetumika miezi mitatu tu ipo kwenye hali nzur sana inapatikana mwananyamala karibu na royal bar rimot yake imepotea ila inapiga kazi vizur.
Mawasiliano
0687102420
0719590756
jenerata aina ya perkins linauzwa bei himilivu na rafiki jenereta lipo kwenye hali nzuri na matunzo yake linapatikana masaki dar es salaam.
KVA 25
bei ni milion 8 na laki 5 tu
mawasiliano 0786956065 0719590756
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.